Msaada wa kutengeneza beat kwa kutumia FL studio

Msaada wa kutengeneza beat kwa kutumia FL studio

kingkimbe

Senior Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
110
Reaction score
53
Wakuu habari za muda huu natumaini mpo powa leo naomba watu wenye uelewa wa kutengeneza beat kwa FL studio wanisaidie. Mimi nina idea ya kutengeneza beat ila kuna vitu sivijui kupiga live kama kinanda na gita hivyo naomba maelekezo na musikilize baadhi ya beat nilizo tengeneza maoni ushauri vinaruhusiwa ila matusi si vyema japo ndio changamoto asante.
 

Attachments

Itabidi unitengenezee namimi yakwangu
 
Mbona kama biti inajirudia mwanzo mwisho, ongeza ubunifu mkuu.
 
Rekebisha sikio lako, feel the music, jifunze music theory, how to equilize, how to mix, how to filter track e.t.c.
beat ni kazi kusikiliza muda mrefu kwasabu umepandanisha instruments, hazina groove mzee, hazishtui moyo.

In music, groove is the sense of propulsive rhythmic "feel" or sense of "swing". In jazz, it can be felt as a persistently repeated pattern. It can be created by the interaction of the music played by a band's rhythm section. Wikipedia
 
Hahaha,.. Hizo beat zako zimenikumbusha mbali sana,.. Lol!!!
Anyways,unataka usaidiwe nini sasa maana mi hata sijaelewa haswa unachohitaji,.. ila ka ulitaka tuckilize tu hizo beat zako tushazickia and,..They are straight trash,..!!!
Hebu wewe mwenyewe tu jaribu kuimba kwenye hizo beat uone.!!!
 
Hahaha,.. Hizo beat zako zimenikumbusha mbali sana,.. Lol!!!
Anyways,unataka usaidiwe nini sasa maana mi hata sijaelewa haswa unachohitaji,.. ila ka ulitaka tuckilize tu hizo beat zako tushazickia and,..They are straight trash,..!!!
Hebu wewe mwenyewe tu jaribu kuimba kwenye hizo beat uone.!!!
Daa mkuu umemvunja moya kabisa, mm naimani jamaa alikuja na anuani ya kwamba umsikilize kisha umwambie wapi aongeze kama kakosea.
Means kwamba amejua hakufanya kwa level ambayo inatakiwa kufanywa.
 
Hahaha,.. Hizo beat zako zimenikumbusha mbali sana,.. Lol!!!
Anyways,unataka usaidiwe nini sasa maana mi hata sijaelewa haswa unachohitaji,.. ila ka ulitaka tuckilize tu hizo beat zako tushazickia and,..They are straight trash,..!!!
Hebu wewe mwenyewe tu jaribu kuimba kwenye hizo beat uone.!!!
Hahahahahahah *****, atleast hio ya pili kidogo imefata keys vizuri. Ila sote tulianzia huku huku my first beat was piece of shit
 
Nimeacha mwaka 2014,.wakati najua kutumia Logic,reason 5,Ku rewire FL files kwenye hizo software zingine,.sampling..kwenye mixing ndo kabisa nilikutana na mzungu anaitwa Sam huyo mchafu,hata mixer njia zote,anafanya kazi..kanifunda mengi..now napiiga now kimizuka Tu..kwenye Akai 5000..
 
Back
Top Bottom