Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,415
- 26,991
NimekuPM
, sasa huyo mjusi miezi 9 si utajifungua Mamba kabisa au DinosaurKumbe mkuu unajua wazi kuwa hapa bongo ni kibongobongo tu sio. Basi Nairobi ndio wenyewe. Bongo waweza hata kukuwekea mjusi
Atajifungua kenge, sasa huyo mjusi miezi 9 si utajifungua Mamba kabisa au Dinosaur
Tehehehehehehe mountain lizardAtajifungua kenge
Hio ni report ya seminal analysisHabari za jioni watu wa Mungu,naomba msaada mezani kwangu Nina hoja nimeletewa na mshirika Fulani kuwa yeye anatatizo La Sperm Infertility,
Nikaona ni vema nikalileta humu kwenu madaktari mnisaidie maelezo ya Kidaktari huku tukiendelea kumuomba na kumsihi Mungu amtendee jambo apate watoto.
Naomba kujua.
1. Husababishwa na nini?
2. Mini Dawa ya kutatua tatizo hilo?
3. Je? Anaweza kupona kidaktari?
Natanguliza shukrani kwenu..
Afadhali kumbe inatibika am so happy for himHio ni report ya seminal analysis
Yaani kipimo cha male infertility
Report yako inaonesha count ni ndogo ambayo ni 8million per ml wakat normal inatakiwa count iwe 20-300 mill per mil
Pia motility ni mbaya yaani inaonesha 70% ya sperm wako sio motile
Na ili mtu aweze kua fertile lazima sperm wake wawe atleast 60 % motile tena forward progressive movement (wasiwe tu wanatembea bali watembee mwendo wa hatua na in straight foward motion
So kwa report ilivyo mtu anatibika kwani mbaya zaid report ingeonesha mtu ana azoospermia ( no any sperm in ejaculation ) hapo ingekua shida ila kwa hio report ukipata dr.mzur na kukupangia nutritions basi unakua okkkkkkkk pamoja na multivitamins
Hii nayo ni lugha gani sasa maana kwenye kamusi haipo
, sasa huyo mjusi miezi 9 si utajifungua Mamba kabisa au Dinosaur
Majibu mazuri sana ubarikiweHio ni report ya seminal analysis
Yaani kipimo cha male infertility
Report yako inaonesha count ni ndogo ambayo ni 8million per ml wakat normal inatakiwa count iwe 20-300 mill per mil
Pia motility ni mbaya yaani inaonesha 70% ya sperm wako sio motile
Na ili mtu aweze kua fertile lazima sperm wake wawe atleast 60 % motile tena forward progressive movement (wasiwe tu wanatembea bali watembee mwendo wa hatua na in straight foward motion
So kwa report ilivyo mtu anatibika kwani mbaya zaid report ingeonesha mtu ana azoospermia ( no any sperm in ejaculation ) hapo ingekua shida ila kwa hio report ukipata dr.mzur na kukupangia nutritions basi unakua okkkkkkkk pamoja na multivitamins
Pamoja mkuuMajibu mazuri sana ubarikiwe
Hapana. Mbegu mkuu huko ndani zinatakiwa ziwe na 'forward progressive movement' ktk harakati za kwenda kurutubisha.Zitakuwa ndo zile zinaogelea kutoka nje ya k badala ya kwenda ndani
Jamaa amekueleza vizuri. Mi naongezea kidogo tu; kama una stress, punguza mkuu na kama ni mlevi/mnywaji pia punguza au acha kilevi kabisa.Majibu mazuri sana ubarikiwe