Nlisikia kuna baadhi ya waandishi uko whatsap wana magrup ambayo wanatoa hadhithi Za ivoMwny kujua namna ya kupata kaa Ivo apo juu (tafAdhiri[ nisaidie
Ndio wapi huko mkuu niende, mwenyewe navihitajiNlisikia kuna baadhi ya waandishi uko whatsap wana magrup ambayo wanatoa hadhithi Za ivo
Mtafute George ayan musenya husimulia hadithi katika papaso TBC FM.Ni pm nikupe namba yake.Ndio wapi huko mkuu niende, mwenyewe navihitaji