MBAANGASIMON
New Member
- Jun 5, 2017
- 4
- 4
- Thread starter
- #21
NACHINGWEA LINDIUjataja chuo tutakusaidiaje mkuu uko chuo gani?
NACHINGWEA LINDIUjataja chuo tutakusaidiaje mkuu uko chuo gani?
Korogwe niliwapigia sim wamesema kesho zitakua tayariMwenye join ya korogwe wakuu
Na wewe umechaguliwa Korogwe?ukipata ya korogwe utujulishe
Tutakua wote umewasiliana na chuondio
wanasema watatuma kwenye emailTutakua wote umewasiliana na chuo
Niliwapigia wakaniambia watazitoa Leo ila mpaka saiz naona kimya alafu hawapokei simwanasema watatuma kwenye email
Naweza kukutumia kwa njia ya wattsupJamani kama pia kuna mtu anaweza kupata joining instruction form ya MPUGUSO Teacher's college naomba aniwekee hapa,(kijana wa jirani yangu amechaguliwa huko!!)
Ameomba nimsaidie kwani yeye hana accessibility na technology.
zilizopo kwenye wizara ni za mwaka 2016 kama zitakusadia sema nikupe linkHamna kitu, ngoja tusubiri
Ndiyo mkuu umeshapata joining instructionNa wewe umechaguliwa Korogwe?
Bado sijapataNdiyo mkuu umeshapata joining instruction
watatoa lini na tutatakiwa kuripoti lini?Bado sijapata