MBAANGASIMON
New Member
- Jun 5, 2017
- 4
- 4
Wadau kwa wale waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu siku kadhaa zilizopita kama kuna mtu ameshadownload au anaejua jinsi ya kupata join instructions ya chuo anisaidie.
Kwa maelezo kutoka chuoni wapeniambia niingie kwenye website ya chuo au Nacte lkn nimeshondwa kabisa.
Please mwenye uelewa anisaidie
Kwa maelezo kutoka chuoni wapeniambia niingie kwenye website ya chuo au Nacte lkn nimeshondwa kabisa.
Please mwenye uelewa anisaidie