kuna asilimia kubwa aliyekuwekea domain ndio kakufanyia uhuni, kwahiyo hapo kaona unatraffic nzuri ndio akakuibia domain na kukurudishia ni ngumu maana naona anaitumia kupiga pesa kupitia ads labda ikiexpire tar 25/1/2019 uninunue upya kabla jamaa hajairenew japo sio kitu rahisi maana atapata notification.
au kama vipi ipige chini utafute nyingine kama sirizaafyabora.co.tz ,sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.health, .info., or.tz , .biz n.k
na next time hivi vitu bora ufanye na mtu mwaminifu au wewe mwenyewe hata kwa kuangalia tutorials mbalimbali youtube “how to buy and set a custom domain in blogger ” n.k