Nenda kwa receptionist tena jidai unaomba anwani ya posta ya kiwanda hapo utajenga professional relationship ndipo utaanza kumuuliza maswali ya vitengo vya humo. Kwa taaluma yako Mungu akikubariki sanaaa... labla supervisor lkn inabidi uombe zile za unskilled labour kubeba na kuweka store, n.k.
Humo ni mwendo wa mainjinia na marketing tu professional zao baada ya hapo administration labla ma hr walimu hawana nafasi hapo