ti carina......!ongeza pesa kidoooogow
Ti hiyooo
Nina sh 6000000 nataka kununua gari ni gari gani nzuri kwa maana ya ulaji wa mafuta, inayoweza kustahimili maeneo mbalimbali ya tanzania naomba ushauri wenu wana jf sio muanze kunitukana maana siku hizjf mmm!
Mwenyewe ushajua kwamba unaleta utani,gari zuri kwa 6m? Onana na Chris Lukosi atakusaidia amesema magari UK ni 3m.
Nina sh 6000000 nataka kununua gari ni gari gani nzuri kwa maana ya ulaji wa mafuta, inayoweza kustahimili maeneo mbalimbali ya tanzania naomba ushauri wenu wana jf sio muanze kunitukana maana siku hizjf mmm!
Kama huyo ni mfanyakazi wa serikalini hiyo hela ni nyingio sana kwani atapata kitu swafi kwa bei nafuuMwenyewe ushajua kwamba unaleta utani,gari zuri kwa 6m? Onana na Chris Lukosi atakusaidia amesema magari UK ni 3m.
Mkuu ingekuwa rahisi kama ulivyoandika hapa kila mtu hapa mjini angesukuma ndinga. Aliyekuambia mtumishi wa serikali halipi ushuru ni nani?Kama huyo ni mfanyakazi wa serikalini hiyo hela ni nyingio sana kwani atapata kitu swafi kwa bei nafuu
Nissan xtrail ya 2004 unapata kwa £1,200 na freight ni £800 jumla ni £2000 sawa na 5m zilizobaki analipia port charges gari iko nje ,
MTUMISHI WA SERIKALI HALIPI USHURU