Nchaby
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 797
- 259
Nina sh 6000000 nataka kununua gari ni gari gani nzuri kwa maana ya ulaji wa mafuta, inayoweza kustahimili maeneo mbalimbali ya tanzania naomba ushauri wenu wana jf sio muanze kunitukana maana siku hizjf mmm!
Hapo unaongelea gali kama FAN CARGO, SUZUKI MARUTI, DUET, SUZUKI JIMMY, STARLET, TOYOTA VITZ, TOYOTA ist and the like. Kila la kheri mkuu!