Msaada wa kununua android tablet.

Msaada wa kununua android tablet.

Sista Sophia

Member
Joined
Feb 6, 2010
Posts
50
Reaction score
26
Nipo vacation nchi ya watu marekani, nataka kununua tablet ila nina mashaka kama zitafanya kazi vizuri bongo.
Kwa wajuzi wa mambo, nahitaji kujua ninunue tablet gani ambayo nitatumia bongo vizuri?

Je kwenye tablet nako kuna locked na unlocked? Je nikichukua locked from at&t au t-mobile zitakuwa poa kwa bongo?

Help!!!
 
Epuka t mobile 1700mhz ni useless hakuna mtandao tz unaosuport.

Na hai kina at&t, sprint na Verizon pia wanalock tablet japo sio zote.

Kama mdau juu hapo juu alivyosema nexus haziwi locked kwenye kwenye mitandao unazipata as cheap as 150usd
 
hii ndio raha ya jf . yaani hata ukiwa abroad unapata msaada. BIGUP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom