Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
Wadau ninaomba msaada wa kupajua wapi panapouzwa kemikali za kuprintia (printing) mfano MESH WIRE, PHOTO-EMUSION & INK, jijini Dar es salaam.
Kama nitajuzwa na gharama zake nitashukuru.
Kama nitajuzwa na gharama zake nitashukuru.