Nimeshangaa SanaKuna watu bado mnatumia Facebook
Nenda Cyber crime Police department- Report (watafunguwa Jarada- watawasiliana na Facebook HQ kisha FB wataifunga. Wewe ata kama utaweza (kupitia Backdoor) Kuifunga- Facebook watakushtaki kwa kuingilia mtandao wao. So nenda policeHabari wana jf , kuna group la face book limefunguliwa ili wanitukane naomba msaada wa kulifuta nikiwa sio memba wa group hilo. Asanteni
Nimecheka sanaaa we binti acha ukorofiNapenda sana uchokozi wa dizain hiyo
Niunge dogo tukakiwasheee
😂😂😂 🏃♀️🏃♀️Nimecheka sanaaa we binti acha ukorofi
Kasema yeye sio member wa group, anaanzaje kuleave groupClick group halafu hivyo vidotihapo bonyeza Sasa click leave the group na unfollow the group kama hujaelewa ni tag nikutumie screenshot
Sasa anasomaje comment kama sio memberKasema yeye sio member wa group, anaanzaje kuleave group
Mleta mada anakula mademu za watu sasa watu wameanzisha group special kivyao ili wawe wanamtukana[emoji38][emoji38]
Kwenye Facebook kuna option ya View group unaweza kuingia kwenye group ukaangalia posts ukasoma comments na magroup mengine unaweza hata kucomment bila ya ww kuwa member. Baadhi hayaruhusu hata kuview ikiwa ww sio memberSasa anasomaje comment kama sio member