Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Mimi ni mkazi wa Morogoro, Kilosa naomba msaada wa kufika Bumbuli COTCS TANGA (maelezo tu je kuna gari la moja kwa moja kutoka Msamvu hadi Bumbuli? Kama hapana je nishukie wapi ili iwe rahisi kufika bumbuli tanga )
NAOMBA MNISAIDIE HAYO TU. KAMA KUNA MTU NAYE AMECHAGULIWA HUKU NAOMBA TUFAHAMIANE ASANTE SANAA
NAOMBA MNISAIDIE HAYO TU. KAMA KUNA MTU NAYE AMECHAGULIWA HUKU NAOMBA TUFAHAMIANE ASANTE SANAA