Zehoes
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 512
- 352
Wasalaam wakuu... kwanza hongeleni kwa vijana wa kidato cha sita waliofaulu.. pia poleni kwa wale tulioshindwa kufanya vema kwenye matokeo lakini kumbuka kufeli mtihani siyo kufeli maisha
Turudi kwenye maada tajwa hapo juu
Nahitaji kufahamu namna ya kukokotoa hizi cut off points kwenye vyuo...
Kwa mfano hapo
unachukua principle pass za masomo yote matatu? Ama mawili pekee?
Kama ni mawili unazingatia ufaulu wa somo? ama unazingatia nini hasa?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wakuu...
Turudi kwenye maada tajwa hapo juu
Nahitaji kufahamu namna ya kukokotoa hizi cut off points kwenye vyuo...
Kwa mfano hapo
unachukua principle pass za masomo yote matatu? Ama mawili pekee?
Kama ni mawili unazingatia ufaulu wa somo? ama unazingatia nini hasa?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wakuu...