Zima na kuwasha data.Nina mb zakutosha lkn mtandao wa google,chrome playstore unagoma kufungukaView attachment 1694725
Inazingua still?Tayari mkuu
Darasa la Saba mkuu,igcseHiyo picha ni demo mkuuu, unaelimu gani kwanza ? huenda hili jukwaa sio lako
Thank uHuu uzi haukuhusu mkuu asante kwa ushirikiano wako
Tatizo ni acess point names, sijui unatumia mtandao gani lakini au simu gani lakini nenda kwenye setting za network, tafuta access point names halafu badili.Nina mb zakutosha lkn mtandao wa google,chrome playstore zinagoma kufunguka lkn ajabu nikuwa whatapps, instagram zipo sawa leo ni siku 3 nina ilo tatizo na hii ni line ni mpyaa sasa cjui nayo ni sababu? View attachment 1694725