Msaada wa kuacha punyeto

Msaada wa kuacha punyeto

JIBU
Kwanza wapaswa kuichukia moyoni kelikweli, nakuamua kujipenda kwanza kwelikweli. Tunajua sex drive ndio stimuli ya namba moja ya matendo kwa mwanadamu hivyo wapaswa kuihamishia kwenye mahusiano salama na mwanamke sahihi. Pia hakikisha upendo unatawala ili isikuingize kwenye stimuli kama anger, jealousy and fear. Hukiona mahusiano sio sawa kwako kwa sasa hamishia hii stimuli kwenye mazoezi ya viungo kama gym.

Pili usikae mwenyewe kama una lala ghetto mwenyewe tafuta rafiki au ndugu mkae pamoja. "The empty mind is workshop of evil".

Tatu jiweke mbali na marafiki wanao penda kuzungumzia ngono kila mara. Acha kuaangalia picha za ngono na videos.

Jiweke mbali na vichochezi vya ngono.

Mwisho oa ikiwa wakindhi vigezo vya ndoa. Kumbuka kufanya ibada.
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
Siku mbili mbona mapema sanaa yani hata ingekuwa mwezi..
 
Unapiga puri kwa siku,kwa week kwa mwenzi au kila siku mara ngap?
 
Huu upuuzi nilishauacha mara baada ya kuona hasari zake.

Kiukweli punyeto inahasara nyingi sana kuliko faida hasa ukizingatia.

*Inavuruguga akili yaani mambo ya kupoteza kumbukumbu ni kawaida sana kwa muhanga wa mchezo huu.

*Kupoteza umakini na kushindwa kujiamini.

*Kubwa zaidi inaharibu mfumo mzima wa uzazi kwa mwanaume.

Kwa ufuupi tu ni mchezo mchafu sana ambao haufai kuigwa wala kufanyika.

-Nirejee kwenye mada.

*Jiepushe kuangalia picha za ngono.

*Fanya mazoezi ili kujiamarisha na kujiweka buzy.

Mwisho kabisa, mrejee Muumba wako kwa sala na toba naimani atakuvusha juu ya hili.

Kila la kheri mkuu.
Yaani umefaidi weeeh! Umechoka! Leo hii eti ndiyo unaamua sasa kuwashauri wenzako nao waache! Ningekuwa kijana aisee huu ushauri wako nisingeukubali.
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!

 
Back
Top Bottom