Kukojowa chini ya dakika kumi ndio kawaida kaka. Kwani wee unataka bao ulitafuta nusu saa nzimaHabari Wana jf Mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo Hadi sasa huku nikifikiri kua ndio njia sahihi yakutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililo nalo siwez kumtongoza kwanamke,Sina ham ya tendo landoa,nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
