Msaada wa kuacha punyeto

Msaada wa kuacha punyeto

Habari Wana JF mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Uache nyeto ili iweje?!
CHAPUTA ni kama freemasons ukishaingia huruhusiwi kutoka mpaka kifo yaani ni kama ndoa ya kikatoriki
Kaa kwa kutulia uendelee kunyetuka
 
Khaaaii, Uhakika wa kupata..... Unaukosaje a real man angalau kwa mwez? Timba Shelly ya usiku acha ubwege
Mkuu Kwa upande wangu kuipata pussy ni uhakika hela inadindisha, so suala la kwenda shel ni uhakika. Sijui Kwa mwenzetu huyo.

Mi napiga nyeto na pussy pia Kwa kwenda mbele
 
Kuacha punyeto kunatoka moyoni na wala sio ishu ya mazoezi, ubize nk. Kama hujaamua kuacha utajiiba ha choo cha kazini upige nyeto...
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
 
Mkuu Kwa upande wangu kuipata pussy ni uhakika hela inadindisha, so suala la kwenda shel ni uhakika. Sijui Kwa mwenzetu huyo.

Mi napiga nyeto na pussy pia Kwa kwenda mbele
Ahhaha kwamba unabadil pish tu sometimes ukichoka magengeni unajipkia magetoni siyo
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
Ahhaahha siku ya 2??, Eb acha utan niamin mm kabla ya siku ya tatu jogoo kuwika utacheza tena.
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
Imenibidi nicheke tu
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
😀😀 Safi sana mkuu ila hapo mwisho pa siku ya pili pameniacha hoi.

Ila hongera mkuu, endelea kuhesabu siku hivohivo uzidi kujiona mwamba na utazidi kuipuuza na mwisho kuisahau kabisa.

Binafsi mawazo nimeyahamishia kusaka pesa tu na ni kitambo kidogo tangu nimenyetoka.
 
Msaada wa kwanza ni Toba na kupinga hiyo roho da pole sana. Hujuibhata kuomba ila omba utakavo wiwa Na ni kila siku maisha yako yote mpaka usikie amani Moyoni. Sahau ngono ukitoka hapo ni ndoa. Omba nguvu ya Mungu na hofu. Maana hata ukishinda bado shetan atakushawishi hivo nguvu ya Mungu itakusaidia kuishinda.

Punyeto ni mapenzi kati Mtu na mpenzi wake wa Nafsini ambaye ni jini. Anachukua nguvu anaenda kupiga Mashine watu usingizini akiwaingizia vitu vitakavo Wafanya wawe mbali na uso wa Mungu
 
😀😀 Safi sana mkuu ila hapo mwisho pa siku ya pili pameniacha hoi.

Ila hongera mkuu, endelea kuhesabu siku hivohivo uzidi kujiona mwamba na utazidi kuipuuza na mwisho kuisahau kabisa.

Binafsi mawazo nimeyahamishia kusaka pesa tu na ni kitambo kidogo tangu nimenyetoka.
wazo zuri mkuu..
 
Habari Wana JF mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Kwanza nimesikitika jinsi ulivyochezea pesa kununua sabuni mkuu.
Pili pole kwa kujibaka kijana.
Watakuja kukushauri hasa Mshana Jr
 
Nyeto hauachi wewe unapunguza frequency tu.

Piga once a week inatosha kwa afya.
 
Pure Point, nilifanya mchezo huo kwa miaka 10, Kila nikiamua kuacha wapii.. sikuweza ikawa ni kawaida kufanya kila siku.

Siku Moja nikaamua tu kuwa kuanzia leo sipigi nyeto wala nini, na siangalii video za ngono and co. sijui ata nisikie connection ya Mobetto wala siiangalii. Sasa nina siku ya 2 sijapiga nyeto!
Siku mbili au miaka miwili?
 
Back
Top Bottom