Msaada wa kuacha punyeto

Msaada wa kuacha punyeto

kaisar19

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2021
Posts
228
Reaction score
391
Habari Wana JF,

Mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa.

Sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
 

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

KAMA KWELI UPO SERIOUS INGIA KWENY HUU UZI SOMA COMMENTS KUANZIA YA KWANZA MPK MWISHO , ALAFU UTAANZA MWENYEW KUJIPA CHALLENGE
 
Wakati wengine wanapiga nyeto ili wakaanzie bao la pili kwa mademu zao, wengine wanadai inawatoa mchezoni.!
Jamaa anakwambia ameanza nyeto akiwa na miaka 19 wakati wengine wameanza na miaka 14 na wanapiga show fresh kabisa labda kama anapiga bao 5 per day
 
Habari Wana jf Mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta...
mkuu pole sana kwanza nikupe siri hakuna mwanaume ambae hajawah piga puchu ila wapo walioamua kuacha
 
Huu upuuzi nilishauacha mara baada ya kuona hasari zake.

Kiukweli punyeto inahasara nyingi sana kuliko faida hasa ukizingatia.

*Inavuruguga akili yaani mambo ya kupoteza kumbukumbu ni kawaida sana kwa muhanga wa mchezo huu.

*Kupoteza umakini na kushindwa kujiamini.

*Kubwa zaidi inaharibu mfumo mzima wa uzazi kwa mwanaume.

Kwa ufuupi tu ni mchezo mchafu sana ambao haufai kuigwa wala kufanyika.

-Nirejee kwenye mada.

*Jiepushe kuangalia picha za ngono.

*Fanya mazoezi ili kujiamarisha na kujiweka buzy.

Mwisho kabisa, mrejee Muumba wako kwa sala na toba naimani atakuvusha juu ya hili.

Kila la kheri mkuu.
 
Habari Wana jf Mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo Hadi sasa huku nikifikiri kua ndio njia sahihi yakutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililo nalo siwez kumtongoza kwanamke,Sina ham ya tendo landoa,nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Kula nyeto kistaarabu moja kwa wiki

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Kuacha punyeto kunatoka moyoni na wala sio ishu ya mazoezi, ubize nk. Kama hujaamua kuacha utajiiba ha choo cha kazini upige nyeto.

We jiambie tu kuanzia leo sitopiga, maneno yatoke moyoji kabisa kua umwacha, acha kuangalia porn au kama una account insta,whatsapp au telegram inayokushawish kufanya ivo jitoe kote huko.

Ila kama huwezi kabisa basi walau piga mara 1 kwa wiki na sio kila siku.
 
Back
Top Bottom