Msaada wa ku-unlock Huawei modem

Msaada wa ku-unlock Huawei modem

calvinpower au yoyote naomba msaada,
>>nilikua nataka unlock modem ya vodacom (vodafone k3565z na vodafone k3565)
>>pia modem ya TTCL (Huawei EC121)
nimekwisha jaribu program kadhaa za ku-unlock modem but hizo hapo juuu nimeshindwa tofauti na modem za zain (E1550) ambazo naona kama ni rahisi ktk unlocking kwasababu hazijanisumbua kabisa,yoyote anaweza kunisaidai mawazo,

tupe imei za hzo vodafone k3565z na k3565
 
..mkubwa calvin power hiyo ya vodafone cna hapa,niliamua kuigawa kwasababu nilishindwa kuifungua,lakini nitakutumia hizo namba nikiichukua tena,and vipi kuhusu hiyo ya ttcl,and nimewahi kusikia watu wanasema kwamba modem za CDMA hazifunguki hata kidogo,only 3G modems can be unlocked!!!!!!!by your experience,is that true?or mwana jf yoyote anaweza kutusaidia hilo!
 
..mkubwa calvin power hiyo ya vodafone cna hapa,niliamua kuigawa kwasababu nilishindwa kuifungua,lakini nitakutumia hizo namba nikiichukua tena,and vipi kuhusu hiyo ya ttcl,and nimewahi kusikia watu wanasema kwamba modem za CDMA hazifunguki hata kidogo,only 3G modems can be unlocked!!!!!!!by your experience,is that true?or mwana jf yoyote anaweza kutusaidia hilo!
hiyo ya TTCL ni CDMA inafunguka mkuu ila utatumia kwenye mitambo ya CDMA tu. na si GSM.
 
Nimepata hizo code lakini nashindwa jinsi ya kuzitumia ku unlock. Je, niziingize wapi ili niweze kutumia modem yangu?
 
hivi uki unlock hiyo moderm ya huawei unaweza kutumia na line ya ttcl na sasatel??
 
Wakuu, mimi nina modem yangu
Modem - ZTE
Model - K3565-Z
IMEI yake ni - 353462041045084
Unlock code ni - 61293628
Flash code - 44453462

Sasa shida ni kwamba, kila nikitaka ku-unlock inagoma. Sijui software gani inaweza kufanikisha ku-unlock huawei modem ya K3565-Z?
 
Wakuu naombeni mtusaidie jinsi ya kujua hizo serial no maana wengine tumeshapoteza risiti lakini tunahitaji kuchakachua.
 
mi naomba ndugu zng mnisaidie jinsi ya kuchakachua modem ya airtel.modal E153u-2 na s/n:BAA4CA1130704738 na IME ni 352374043688426 ili iweze kutumia line zantel au tigo.msaada wenu ni faraja sana kwng.asanteni
 
mi naomba ndugu zng mnisaidie jinsi ya kuchakachua modem ya airtel.modal E153u-2 na s/n:BAA4CA1130704738 na IME ni 352374043688426 ili iweze kutumia line zantel au tigo.msaada wenu ni faraja sana kwng.asanteni
modem hiyo unaweza kutumia file lifuatalo kui unlock. ila inakua ni temporary unlock. kila unapoichomoa au kuzima komputa inakubidi urudie kui unlock ijapokuwa inachukua sekunde 5 tu kufanya hivo.
link ya file ni : Huawei Modem Unlocker by bojs 5.8.1.exe
i hope litakusaidia
 
Msaada ku unlock modem ya voda
Model. K3571-z
IMEI. 359 591 035 072 284

Utahangaika tu! Mi hiyo modem ninayo na nilihangaika kama wewe ku unlock sikufanikiwa.Natumia 3g Join Air kwa line ya mtandao airtel. Hivyo tafuta hiyo Software ya Join Air kisha endelea kutumia modem yako kwa mtandao wowote unaoutaka.
 
WanaJF nawaomba msaada kupata unblock code ya modem yangu.
Model: E1550
IMEI: 3529 6504 3912508

Natanguliza shukurani

Usihangaike! Tumia 3g Join Air kwa line yoyote unayotaka. Ukishakuwa na hiyo software huna haja ya ku unlock modem yako kwani unaweka line ya mtandao wowote na kuendelea na kusurf kwenye internet kama kawaida.
 
hey guyz nipeni na mie msaada my HUAWEI IMEI 354652012984944.......................i will be very great full
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom