rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,496
- 41,921
Wakuu habarii za saa hizi...!! Mimi naomba msaada kwa anaejua,nina simu yangu Blackberry z30 sasa ina 4G lakini nikiweka option hiyo ya 4G hata kama line nimeisajili inaniandikia Network searching...!! Nafanyajee..!?? Au kama unaweza kunisaidia nikutafute.. Ahsanteni