jimmymziray
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 815
- 515
Mkuu haijaibiwa simu pekee...simu ndio njia ya kupata vitu vingine walivyo iba...vitu vilivyo ibwa thamani inafka had 5M mkuu...
Vijisent
In chenge's voice
Mkuu haijaibiwa simu pekee...simu ndio njia ya kupata vitu vingine walivyo iba...vitu vilivyo ibwa thamani inafka had 5M mkuu...
Haina pin..siwekag pin kabisa mana unamshawish mwiz ku wipe simuUmeiset wakati umeweka pin
Wakiiba cha kwanza ni hard reset
Pili ni kuweka google adress mpya, hutoiona tena
Sasa hapo mkuu usiweke pin wala niniKuturn on location ni muhimu sana mkuu, pole.View attachment 593260
Pin naweka mkuu ila uzuri hua natumia common pin sisahau kamweSasa hapo mkuu usiweke pin wala nini
mpaka uwe unajua ime yake unatrack kwa kali linux mkuuWakuu naamin mpo fresh kabisa..
Bila kupoteza mda,last wiki kuna vibaka walikuja kuiba ,walifanikiwa kuiba vitu mbali mbali vya thaman.
Sasa katika kuiba kwao wakaiba na simu ya dogo ilikua charge usiku..ni tecno y3
Sasa wale vibaka inaonekana ni washamba kwa maana ile simu hawaja restore hadi leo hii,nimetumia google divice manager niafanikiwa kuiona simu ikiwa connected kweny mtandao tangu siku waliyo iba.
Sasa nakwama sehemu moja, ninapotaka ku locate location nashindwa kwa maana location haikuwa on kipind simi inaibiwa.
Sasa naomba Kujua nitawezaje ku washa location remotely? Kama haiwezekan basi nitumie njia ipi kumnasana huyu mwiz anaetumia simu..
Imei namba nimeipata ninayo hapa..na kila siku simu lazima niikute online nikitumia device manager...
nenda google kaangalie how to use kali linux to track ime of phoneImei nimeipata mana details zote za simu zipo kweny google dashboard..hivyo imei yake nayo ninayo
Sasa hapo kwa kutumia kali linux naomba unisaidie if possible
Una set vipi mkuu?Ndio hivyo mkuu..simu ya dogo
Ila hii yangu hapa nimeshaiset kabisa hata ikiibiwa najua jinsi ya kupata..ngoja niwasubir wakuu
Nielekeze upande wa Samsung nitumie app mkuu maana mwizi hana rafikiHapo njia ni nying,unaweza weka on kawaida tu, au ukatumia app kama Avg,lookout, au kam ni Samsung nafkir inakua rahis kweny issue ya location..zipo app nying sana especially ukiwa na root access inakua poa sana
Baadae wanaitruck wenyeww wanapiga pesa kwa aliyenayo na simu wanachukua ndio dili zao siku hzPolisi ovyo tu niliibiwa cm maeneo ya mtongani nikaenda polisi mchakato walionipa niliamua kusamehe tu
Find My Mobile | AppsNielekeze upande wa Samsung nitumie app mkuu maana mwizi hana rafiki
Mh siku shauri uende mi nikigungua kesi mwezi wa 11 mwaka jana mpaka leo kila nikienda polisi wanasema ripoti toka tigo bado haijaletwaSi uende polisi mkuu, wanakamatwa na vyote wanalipa