Nitajifunza ila hadi mtu aniekekeze kwa vitendoAsante...inabid ujifunze..utalia had lin sasa
Umeibiwa auNielekeze upande wa Samsung nitumie app mkuu maana mwizi hana rafiki
Ulifaikiwa kupata cm nielekeze cm yangu imepotea SamsungAsante...inabid ujifunze..utalia had lin sasa
WalikwambiajePolisi ovyo tu niliibiwa cm maeneo ya mtongani nikaenda polisi mchakato walionipa niliamua kusamehe tu