Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,364
- 3,400
Wakuu naamin mpo fresh kabisa..
Bila kupoteza mda,last wiki kuna vibaka walikuja kuiba ,walifanikiwa kuiba vitu mbali mbali vya thaman.
Sasa katika kuiba kwao wakaiba na simu ya dogo ilikua charge usiku..ni tecno y3
Sasa wale vibaka inaonekana ni washamba kwa maana ile simu hawaja restore hadi leo hii,nimetumia google divice manager niafanikiwa kuiona simu ikiwa connected kweny mtandao tangu siku waliyo iba.
Sasa nakwama sehemu moja, ninapotaka ku locate location nashindwa kwa maana location haikuwa on kipind simi inaibiwa.
Sasa naomba Kujua nitawezaje ku washa location remotely? Kama haiwezekan basi nitumie njia ipi kumnasana huyu mwiz anaetumia simu..
Imei namba nimeipata ninayo hapa..na kila siku simu lazima niikute online nikitumia device manager...
Bila kupoteza mda,last wiki kuna vibaka walikuja kuiba ,walifanikiwa kuiba vitu mbali mbali vya thaman.
Sasa katika kuiba kwao wakaiba na simu ya dogo ilikua charge usiku..ni tecno y3
Sasa wale vibaka inaonekana ni washamba kwa maana ile simu hawaja restore hadi leo hii,nimetumia google divice manager niafanikiwa kuiona simu ikiwa connected kweny mtandao tangu siku waliyo iba.
Sasa nakwama sehemu moja, ninapotaka ku locate location nashindwa kwa maana location haikuwa on kipind simi inaibiwa.
Sasa naomba Kujua nitawezaje ku washa location remotely? Kama haiwezekan basi nitumie njia ipi kumnasana huyu mwiz anaetumia simu..
Imei namba nimeipata ninayo hapa..na kila siku simu lazima niikute online nikitumia device manager...