Msaada wa ku restore modem

Msaada wa ku restore modem

Dio

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
1,274
Reaction score
159
Habari zenu wakubwa
natumaini wote wazima,
tatizo langu nikwamba nimejaribu kuchakachua modem ya huawei e153 sasa umeme ukakatika sasa nimejaribu kuitumia inakataa line zote mpaka ya tigo yenyewe,sasa kuna uzi niliusoma humu jinsi ya ku restore nimetafuta mpaka nimechoka,naombeni msaada kama kuna yeyote anayeweza kunipa somo la ku restore ili irudi kama mwanzo.
Asanteni.
 
jamani mbona kimya au ni ngumu nitupe hii modem nikanunue mpya?
 
Habari zenu wakubwa
natumaini wote wazima,
tatizo langu nikwamba nimejaribu kuchakachua modem ya huawei e153 sasa umeme ukakatika sasa nimejaribu kuitumia inakataa line zote mpaka ya tigo yenyewe,sasa kuna uzi niliusoma humu jinsi ya ku restore nimetafuta mpaka nimechoka,naombeni msaada kama kuna yeyote anayeweza kunipa somo la ku restore ili irudi kama mwanzo.
Asanteni.

Ikikataa inatoa ujumbe gani?tukusaidie ku google?

Lakini unaweza kwa kuanza kujaribu ku-update firmware ya hiyo modem uone
 
Last edited by a moderator:
Ikikataa inatoa ujumbe gani?tukusaidie ku google?

Lakini unaweza kwa kuanza kujaribu ku-update firmware ya hiyo modem uone


mtazamaji ngoja ntakuandiki baadae kidogo maana hapa natumia simu na nipo mbali na nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
Huna haja ya kuichakachua, ulifanya kosa sana. Unaweza kuitumia kwa line zote bila kuichakachua bhana. unatumia software tu.
Ebu jaribu njia ya Mtazamaji..
 
mtazamaji hata mm natka ni unlock moderm yangu kwa hiyo nasubiri maoni ya wataalam kwenye thread yako.
 
Fanya home work kuna thread hapa inafundisha vizuri jinsi ya ku unlock modem hizo za tigo. lakini usichakachue hiyo modem.
Tumia njia hii hapa JINSI YA KUFLASH MODEM ZA HUAWEI E153 | MPEKUZI ni secure na inafanya vizuri bila kuiathiri modem yako
Kweli kabisa kaa la Moto
Pia kuna member anaitwa calvin power search thread alizoazisha kwenye jukwaa hili . Ila nimeshangaa thread yake juzi juzi naona anaongelea mambo ya cost na pm . teh teh teh teh . Anyway binafsi sio mtaalam sana wa hizi modem lakini ukikwama kabisa tutakusaidia ku google na kukulengesha kwenye suluisho. Majibu yote nyenzo zote zipo google. Ni kuchambua pumba na mchele tu......
 
Kweli kabisa kaa la Moto
Pia kuna member anaitwa calvin power search thread alizoazisha kwenye jukwaa hili . Ila nimeshangaa thread yake juzi juzi naona anaongelea mambo ya cost na pm . teh teh teh teh . Anyway binafsi sio mtaalam sana wa hizi modem lakini ukikwama kabisa tutakusaidia ku google na kukulengesha kwenye suluisho. Majibu yote nyenzo zote zipo google. Ni kuchambua pumba na mchele tu......

kuna member wengine ukiomba uelekezwe kitu wanataka hela,jamani huwa napenda kuwaambia kuwa siyo kila kitu unachofanya hapa duniani lazima ulipwe.
 
Kwanza labda ningependa kujua exactly kabla ya modem kugoma ulifanya nini au ulikuwa unaichakachua vipi? there to two types za model ulihitaji

kuna customized firmware na ambayo sio customized.. Kama ni customized firmware hii ni imelokiwa zaidi na haiwezikani ikawa updated kwa njia ya

kikawaida.. na bado sijashudia mpaka leo mtu anayeweza ku permanetly unlock or update hizi customized firmware.. but you can only unlock it

temporarily. na kama ungetaka kujua how to temporarily unlock it fungua thread hii HAPA

Na kama sio customized firmware then haina tatizo kabisa ina inafunguka simply.. hiyo link aliotoa Mtazamaji itakufanikishia vyema iyo ya MPEKUZI...

Sasa baada ya kuyajua hayo.. Uelezee ulifanya nini haswa mpaka modem imekugomea ulichakachua vipi? Ni hayo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom