Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 159
Habari zenu wakubwa
natumaini wote wazima,
tatizo langu nikwamba nimejaribu kuchakachua modem ya huawei e153 sasa umeme ukakatika sasa nimejaribu kuitumia inakataa line zote mpaka ya tigo yenyewe,sasa kuna uzi niliusoma humu jinsi ya ku restore nimetafuta mpaka nimechoka,naombeni msaada kama kuna yeyote anayeweza kunipa somo la ku restore ili irudi kama mwanzo.
Asanteni.
natumaini wote wazima,
tatizo langu nikwamba nimejaribu kuchakachua modem ya huawei e153 sasa umeme ukakatika sasa nimejaribu kuitumia inakataa line zote mpaka ya tigo yenyewe,sasa kuna uzi niliusoma humu jinsi ya ku restore nimetafuta mpaka nimechoka,naombeni msaada kama kuna yeyote anayeweza kunipa somo la ku restore ili irudi kama mwanzo.
Asanteni.