Wapendwa, nimekuwa niki-log in JF kwa kutumia simu yangu Nokia 6233 lakini kwa wiki 3 sasa siwezi kulog in. Ile link ya kulog in hainipi ruhusa ya kufanya hivyo. Au kuna kitu natakiwa kufanya? Naomba msaada maana simu ndo ninayo saa zote, computer mpaka niombe kwa jirani hadi nnakuwa kero.