Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,708
- 19,577
Naandika haya bila aibu ili kuokoa uhai wa mama yangu mkubwa. Mama yangu mkubwa ana umri wa miaka 68, amewahi kufanyiwa upasuaji mara tatu. Ni takribani mwaka wa pili sasa anahsi maumivu ya mgongo. Anatumia dawa anapona kidogo tena maumivu yanarudi, lakini ndani ya miezi mitatu iliyopita alijihsi tofauti. Kila akienda haja kubwa anahsi kama kitu kimechomoka, akachukua kioo akajitazama, kumbe ni mgongo huwa unatokeza kila akichuchumaa. Je tatizo hilo linatibika? Nb,mama mkubwa hajazaa tangu azaliwe.