Sheria ipi,si utu-block tu, I guess it is mkula hospital,na nitaendelea kutumiaNaombeni wataalam wa sheria mnisaidie. Kuna hospitali moja nimewahi kwenda kupata matibabu. Sasa imekuwa kero kila uchao. Natumiwa sms kila wakati kama matangazo ya huduma zao. Naombeni ushauri ninataka kuwashtaki kwa usumbufu wanaonisababishia.
Anataka easy money huyuKama unatumia smart phone una sehemu katika message Kuna kipengele cha report spam & block kitumie hutapata tena ujumbe wao.
AiseeWaambie umeshakufa, huduma yao imekuua wataacha kukutumia sms 😎
Nenda kawatukane wataacha shobo ila kwanini unawaogopa wataje hapa ujumbe uwafikie
Mkyamise isije ikawa unatakiwa urudi kuchukua dawa zako ndio maana wanakukumbusha?Anataka easy money huyu