Msaada wa kisheria tafadhari

gumya

Member
Mar 4, 2015
92
28
Habari,kwanza kabisa Heri ya chrismas na mwaka mpya 2017 kwa wote.Kwa wale wenye kumiliki Website zilizosajiriwa au yeyote mwenye uelewa juu ya namna ya kusajiri website hapa tanzania naomba kujuzwa hatua kwa hatua namna ya kufanya ili kusajiriwa.
Hapa nazungumzia website zinazotoa huduma za bure na zakulipia kama vile KUPATANA.COM,kwa mfano mimi nahitaji jina la biashara liwe "wanaJF Ltd" halafu website yake na ambayo ndo itakua inatoa huduma iwe "wanajf.com".
Je,hapo ni hatua zipi natakiwa kuzifuata ili kukamilisha usajiri na itanigharimu kiasi gani?
Je,kwa usajiri huo naweza kuongoza website hiyo mwenyewe au masharti ya usajiri yatalazimisha waongozaji wa website hiyo wawe zaidi ya mmoja? Asanteni na karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom