Chimbekeha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2018
- 1,193
- 2,163
Habari,
Natumaini ile Good morning glory inatekelezwa vyema, Bila kupoteza muda twende jamvini.
Nina ndugu yangu alipohitimu elimu ya juu akaona bora atafute mahala pa kujishikiza ili aweze kumudu mahitaji yake akawa anajitolea pale TEGETA-Shule ya UNUNIO HIGH SCHOOL kuwapiga msasa madogo wa o level,
Makubaliano yao yalikuwa ni Tsh 400,000 kwa mwezi. Ila makubaliano hayo yalitekelezwa ndani ya miezi miwili ya mwanzo tu baada ya hapo malipo yakawa ya kusuasua mpaka sasa hivi yaani mwezi huu wa Novemba 2022 ameamua kuacha hiyo kazi baada ya kuona malimbikizo ya madeni yamefikia Millioni Tano(5) na hakuna dalili ya kulipwa mpaka sasa,
Serikali naomba Muliangalie na kuingilia kati hili ndugu zetu wanaumia na hizi shule zipo ndani ya mamlaka, huyu ni mmoja tu ila wapo wengi wanadhulumiwa haki zao,
NOTE; Hawatoi mkataba wa maandishi unapoanza kazi, sijui ndo lengo lao la kutolipa mishahara kwa wanaojitolea ndio maana hawatoi mikataba.
KARIBUNI
Natumaini ile Good morning glory inatekelezwa vyema, Bila kupoteza muda twende jamvini.
Nina ndugu yangu alipohitimu elimu ya juu akaona bora atafute mahala pa kujishikiza ili aweze kumudu mahitaji yake akawa anajitolea pale TEGETA-Shule ya UNUNIO HIGH SCHOOL kuwapiga msasa madogo wa o level,
Makubaliano yao yalikuwa ni Tsh 400,000 kwa mwezi. Ila makubaliano hayo yalitekelezwa ndani ya miezi miwili ya mwanzo tu baada ya hapo malipo yakawa ya kusuasua mpaka sasa hivi yaani mwezi huu wa Novemba 2022 ameamua kuacha hiyo kazi baada ya kuona malimbikizo ya madeni yamefikia Millioni Tano(5) na hakuna dalili ya kulipwa mpaka sasa,
Serikali naomba Muliangalie na kuingilia kati hili ndugu zetu wanaumia na hizi shule zipo ndani ya mamlaka, huyu ni mmoja tu ila wapo wengi wanadhulumiwa haki zao,
NOTE; Hawatoi mkataba wa maandishi unapoanza kazi, sijui ndo lengo lao la kutolipa mishahara kwa wanaojitolea ndio maana hawatoi mikataba.
KARIBUNI