Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
 
Mkuu cha kwanz hapo juu , baada yamkupgia mshikaj mnaoshea hukuona maan ya kugombania mwanamke

the same huyo mwanamke sio mkeo hujazaa nae na kibaya zaid huyo mwanamke kashazalishwa bro she have so much to lose than you

Kitu ingine mkuu uwe na vipoozoe mwanaume / yeye mwanamke anavipoozeo wew huna , __ shame on you


Mungu amekuonyesha mapema huyo sio sahihi japo wew ilipasw yeye kukujali wew kwakuw yeye ameshatangulia kuzaa na mtu mwingne.
 
Bro kwenye haya maisha usimwamini mtu yoyote itakusaidia sana. Ishi na watu wote kwa upendo na ikitokea kuna mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako mfungulie mlango tu ila kamwe usimfungulie mlango akitaka kurudi ila msamehe tu kibinadamu hata urafiki usimpe iyo chance.

Hii sio kwa wenzi tunao ishi nao bali kwa kila mtu. Bora kuruhusu watu wapya kwenye maisha kuliko watu wazamani walio ondoka na waliopoona umuhimu wako wanataka kurudi.
 
Uzi ufungwe
 
Mungu anakupenda bro amekuepusha na single Mother hawa waliozaa ni shida hawachelewagi kukugeuka na litoto Lake likishakuwa likajua wewe siyo baba halisi wanakufanyia njama hata kukudhuru ili wabaki na Mali.
 
Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.
Hapo ulipokuwa umeishia ni pazuri sana na ushukuru Mungu amekufunulia mapema utopolo wa huyo demu.

Futa kichwani, tulia anza upya.

Jiulize mwenyewe...Angekuwa amekufa.. ningemrudisha? Sasa chukulia hayupo maishani mwako kamwe
 

Dah noma sana
 
Hii stori ni yangu kabisa, tofauti tu ni hapo kwenye kibendi cha pili

Ila vyote mpaka umri wa kid ni kama wangu
 
Hana upendo wowote kwako huyo malaya bali yupo tu kwako ili apate pa kupumzikia na mwanae. Na inaonekana unampenda ndo maana anakupelekesha na hata kama tutakushauri vipi lakin unavoonekana utarudiana nae tu kimyakimya. Uamuzi ni wako ila huyo HAKUFAI tafuta mwanamke mwingine anza mahusiano ikibi oa kabisa. Huyo ni malaya tu atakupotezea muda mwisho wa siku utabaki na majuto tena

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ushauri wangu kama unampenda huyo manzi jiue, kunywa sumu maana mwanamke amebaki huyo tu duniani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…