Habari jf
Mimi ni kijana umri miaka 25. Niliwahi kua na mpenzi wa kike kwa miaka 6 mpaka July mwaka huu. Nilitokea kumpenda sana, nikamjali kwa kila kitu. Mambo mengi yalikua yakitokea nikavumilia lakini ikafikia hatua siku moja ukatokea ugomvi. Nili hack akaunti yake ya yahoo nikafanikiwa kuingia ktk akaunti yake ya facebook(baada ya kuhisi naibiwa kutokana na dharau za wazi alizokua akinionesha)
nilichokuta fb kilinistua sana, nikajaribu kufatilia kwa jamaa wa kwanza. Basi my x akapata habari na kuamua kunipgia simu. Kilichofata hapo ni yeye kunitukana na kunipa ukweli kua amekua na wanaume 13 tofauti kwa muda wa miaka 6 wakati niko nae na akawataja majina.
nilistuka sana hasa kwa vile hakuna kitu ambacho alikosa kwangu. Pia kwa kua nilimpenda kwa moyo wangu wote hata ndugu na marafiki walikua wanajua
nikafanya maamuzi magumu, kumuacha. Tatizo limekuja kua karibu kila siku lazima nikumbuke tukio hilo kwa muda wote huu tangu july. Nikiwaona wasichana napata hasira / naogopa hata kuwasalimia kwa kuwaona ni watu wabaya na wasiofaa.
Nimehangaika sana na hali hii na najua navyowafikiria sivyo. Msaada wana jf, nifanyeje maisha yangu yarudi ktk hali ya kawaida?
Mimi ni kijana umri miaka 25. Niliwahi kua na mpenzi wa kike kwa miaka 6 mpaka July mwaka huu. Nilitokea kumpenda sana, nikamjali kwa kila kitu. Mambo mengi yalikua yakitokea nikavumilia lakini ikafikia hatua siku moja ukatokea ugomvi. Nili hack akaunti yake ya yahoo nikafanikiwa kuingia ktk akaunti yake ya facebook(baada ya kuhisi naibiwa kutokana na dharau za wazi alizokua akinionesha)
nilichokuta fb kilinistua sana, nikajaribu kufatilia kwa jamaa wa kwanza. Basi my x akapata habari na kuamua kunipgia simu. Kilichofata hapo ni yeye kunitukana na kunipa ukweli kua amekua na wanaume 13 tofauti kwa muda wa miaka 6 wakati niko nae na akawataja majina.
nilistuka sana hasa kwa vile hakuna kitu ambacho alikosa kwangu. Pia kwa kua nilimpenda kwa moyo wangu wote hata ndugu na marafiki walikua wanajua
nikafanya maamuzi magumu, kumuacha. Tatizo limekuja kua karibu kila siku lazima nikumbuke tukio hilo kwa muda wote huu tangu july. Nikiwaona wasichana napata hasira / naogopa hata kuwasalimia kwa kuwaona ni watu wabaya na wasiofaa.
Nimehangaika sana na hali hii na najua navyowafikiria sivyo. Msaada wana jf, nifanyeje maisha yangu yarudi ktk hali ya kawaida?