mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,480
- 4,872
Wakuu habari ya wakati huu.. Samahani kuna hiyo simu imepasuka kioo imetoa mistari mingi Sana baada ya kudondoka chini ila touch inafanya kazi Kama kawaida!!! Nauliza Inaweza kubadilishiwa kioo na je bei ni shilingi ngapi ukijumlisha na ufundi...
Location DODOMA MJINI
Location DODOMA MJINI