mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Wakuu habari ya jumapili?
Mimi kikazi ni mwalimu wa somo moja la hesabu secondary.... Nimekuwa na mawazo mgongano kila kukicha na sijaweza kupata uelekeo halisi wa nini nifanye kwa kuacha kazi yangu ya ualimu...
Kipindi cha nyuma nikiwa nimehitimu form four 2009 niliweza kupanda msitu wa ekari moja na kidogo na baadae nilipo maliza chuo 2015 nikapanda msitu mwingine kama ekari moja na kidogo tena ambapo kiuhakika hayo mashamba nikiyaingiza sokoni leo naweza kupata si chini ya million kumi...
Ajira niliyonayo naona inazidi kunichelewesha kuweza kuyafikia marengo yangu... Kwa mawazo ya karibu niliyo nayo nataka niyauze hayo mashamba nianzishe biashara au project yoyote ile ili angalau niweze kujisogeza kuyafikia marengo yangu!!
Wakuu naombeni mawazo yenu nini nifanye kutoka katika hili dimbwi la umasikini kwa kuanzia na kile nilichonacho...
N.B. napokea mawazo ya aina yote!
Mimi kikazi ni mwalimu wa somo moja la hesabu secondary.... Nimekuwa na mawazo mgongano kila kukicha na sijaweza kupata uelekeo halisi wa nini nifanye kwa kuacha kazi yangu ya ualimu...
Kipindi cha nyuma nikiwa nimehitimu form four 2009 niliweza kupanda msitu wa ekari moja na kidogo na baadae nilipo maliza chuo 2015 nikapanda msitu mwingine kama ekari moja na kidogo tena ambapo kiuhakika hayo mashamba nikiyaingiza sokoni leo naweza kupata si chini ya million kumi...
Ajira niliyonayo naona inazidi kunichelewesha kuweza kuyafikia marengo yangu... Kwa mawazo ya karibu niliyo nayo nataka niyauze hayo mashamba nianzishe biashara au project yoyote ile ili angalau niweze kujisogeza kuyafikia marengo yangu!!
Wakuu naombeni mawazo yenu nini nifanye kutoka katika hili dimbwi la umasikini kwa kuanzia na kile nilichonacho...
N.B. napokea mawazo ya aina yote!