Unaumwa UTI.. Hakuna haja ya kwenda hata kupima.. Nenda pharmacy kanunue AZUMAHabari za wakati za mchana huu ndugu zangu na hope mko katika mihangaiko yenu ya kutwa nzima
Nina jambo langu ndugu zangu week kama ya pili inaanza leo viungo vyangu vya kiume sijui ni UTI AU kitu Gani, dalili ni hizi napata kunaungua, muda mwingine kama Kuna viwembe ndani kama vinakata, pia muda muwasho ndani ya muwasho naskilizia, tu naona muda nakuwa sawa muda vinaamka
Nakunywa maji ili nione Hali itakuwaje pia kingine sijashiriki siku nyingi Nina mtu mmoja jinsi ya kike Mimi kiasi sio mtu wa kurukaruka sijui huko mara huko nimetulia nae tu nae hayupo kwa Sasa, pia kupima Sina fedha ya vipimo Wala ya dawa naomba msaada wenu wa kifedha ndugu zangu🙏🙏
0656351446 Ema
Hiyo hela ya kununua Azuma ndio hanaAZUMA pekee ndio mkombozi wako , wahi mapema kabla havijazidi , maana ukichelewa unaweza kwenda kuponea makao makuu ya AZUMA India
Sina fedhaUnaumwa UTI.. Hakuna haja ya kwenda hata kupima.. Nenda pharmacy kanunue AZUMA
AZUMA pekee ndio mkombozi wako , wahi mapema kabla havijazidi , maana ukichelewa unaweza kwenda kuponea makao makuu ya AZUMA India
Toka uzaliwe nina imani hujawahi kupima hicho kipimo cha U. T. IUnaumwa UTI.. Hakuna haja ya kwenda hata kupima.. Nenda pharmacy kanunue AZUMA
Samahan Lakin Kwan huyo mwenzako umemshirikisha?Habari za wakati za mchana huu ndugu zangu na hope mko katika mihangaiko yenu ya kutwa nzima
Nina jambo langu ndugu zangu week kama ya pili inaanza leo viungo vyangu vya kiume sijui ni UTI AU kitu Gani, dalili ni hizi napata kunaungua, muda mwingine kama Kuna viwembe ndani kama vinakata, pia muda muwasho ndani ya muwasho naskilizia, tu naona muda nakuwa sawa muda vinaamka
Nakunywa maji ili nione Hali itakuwaje pia kingine sijashiriki siku nyingi Nina mtu mmoja jinsi ya kike Mimi kiasi sio mtu wa kurukaruka sijui huko mara huko nimetulia nae tu nae hayupo kwa Sasa, pia kupima Sina fedha ya vipimo Wala ya dawa naomba msaada wenu wa kifedha ndugu zangu🙏🙏
0656351446 Ema
Basi kama hujawahi kutumia Azuma, hujawahi kuumwa UTI. Na huna experience bado ya kula tunda🍎 💦Toka uzaliwe nina imani hujawahi kupima hicho kipimo cha U. T. I
AZUMA siyo dawa ya U. T. I mkuu, tuache kukariri mambo.
Achana na experience ya kutafuna tunda. Mi nakusaidia ili siku nyingine utumie dawa iliyo sahihi mkuu. Azithromycin/AZUMA siyo dawa ya U. T. I,Basi kama hujawahi kutumia Azuma, hujawahi kuumwa UTI. Na huna experience bado ya kula tunda🍎 💦
Oh, thanks for the heads up MkuuAchana na experience ya kutafuna tunda. Mi nakusaidia ili siku nyingine utumie dawa iliyo sahihi mkuu. Azithromycin/AZUMA siyo dawa ya U. T. I,
Mjitahidi kutembelea vituo vya afya kwa ushauri zaidi.