Msaada wa kilimo cha abanora (pilipili mwendokasi)

Msaada wa kilimo cha abanora (pilipili mwendokasi)

Pelly

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
265
Reaction score
341
Habari zenu wadau,

Nimejaribu kulima pilipili za mwendokasi, japo nilizichelewesha kwenye kitalu lakini nimezipanda zikashika vizuri zikakutana na kiangazi zikala jua la kutosha la Dar then ilipokuja mvua ziaanza kutoa pilipili kiasi lakini kipindi chote sijaiweka dawa wala mbolea zaidi ya samadi ya kuku,

Sasa juzi nimejichanganya nikapiga dawa fulani jana nakuta zote majani ya njano ila leo naona zinaenda vizuri nimeanza kupalilia maana jani lilikuwa refu na maua yanaanza kutoka tena maana nishauza kama ndoo 2 tangu nianze kuvuna japo kusubiria maana kila siku navuna sado 1 sasa kuna mtu kaniambia niweke busta na mbolea ya viwandani naweza jana ndoo moja mashina mawili hapo nimebaki na mashina 40 kati ya mia, je kuna mtu anayejua au analima hizi pilipili anaisaidie utalaam japo kidogo.

Asanteni

20250527_181831.jpg
20250527_181711.jpg
 
Habari zenu wadau,
Nimejaribu kulima pilipili za mwendokasi, japo nilizichelewesha kwenye kitalu lakini nimezipanda zikashika vizuri zikakutana na kiangazi zikala jua la kutosha la Dar then ilipokuja mvua ziaanza kutoa pilipili kiasi lakini kipindi chote sijaiweka dawa wala mbolea zaidi ya samadi ya kuku, sasa juzi nimejichanganya nikapiga dawa fulani jana nakuta zote majani ya njano ila leo naona zinaenda vizuri nimeanza kupalilia maana jani lilikuwa refu na maua yanaanza kutoka tena maana nishauza kama ndoo 2 tangu nianze kuvuna japo kusubiria maana kila siku navuna sado 1 sasa kuna mtu kaniambia niweke busta na mbolea ya viwandani naweza jana ndoo moja mashina mawili hapo nimebaki na mashina 40 kati ya mia, je kuna mtu anayejua au analima hizi pilipili anaisaidie utalaam japo kidogo.
Asanteni
Habanero mkuu nitakuunga na Bingwa mmoja najua atakusaidia sana nitakucheki
 
Habari zenu wadau,

Nimejaribu kulima pilipili za mwendokasi, japo nilizichelewesha kwenye kitalu lakini nimezipanda zikashika vizuri zikakutana na kiangazi zikala jua la kutosha la Dar then ilipokuja mvua ziaanza kutoa pilipili kiasi lakini kipindi chote sijaiweka dawa wala mbolea zaidi ya samadi ya kuku,

Sasa juzi nimejichanganya nikapiga dawa fulani jana nakuta zote majani ya njano ila leo naona zinaenda vizuri nimeanza kupalilia maana jani lilikuwa refu na maua yanaanza kutoka tena maana nishauza kama ndoo 2 tangu nianze kuvuna japo kusubiria maana kila siku navuna sado 1 sasa kuna mtu kaniambia niweke busta na mbolea ya viwandani naweza jana ndoo moja mashina mawili hapo nimebaki na mashina 40 kati ya mia, je kuna mtu anayejua au analima hizi pilipili anaisaidie utalaam japo kidogo.

Asanteni

View attachment 3347896View attachment 3347899
Mbegu ulipata wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom