Bank zote zinazotoa huduma ya visa na master card zina huduma ya paypal tatizo wafanyakazi wengi wa bank ni vilaza nilipata tabu sana wakati najiunganisha kwani mimi natumia nbc lakini kila nikienda kuangalia activation code walikuwa wanashundwa kunielewa mpaka pale nilipoenda kwa watu wa it kitengo cha bank ndio waliweza kunisaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.