kishaija
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,049
- 1,197
Mango ng'ong'o
Mango ng'ong'oring
Ndo wasomi wetu hawa.Sjui kama tutafanikiwa kweny viwandakama ng'0mbe anaitwa cow , basi kwa kingereza NG'O ni CO na Mbe ni W , so linaitwa. MANGO COCO
Mango ng'ong'o
Mango ng'ong'oring
Ndo wasomi wetu hawa.Sjui kama tutafanikiwa kweny viwandakama ng'0mbe anaitwa cow , basi kwa kingereza NG'O ni CO na Mbe ni W , so linaitwa. MANGO COCO
Ndio, ⅞ ya mnyama twiga ni Africakuna kitu hakipo ulaya mkuu?
Ccm na chadema hazipo Ulayakuna kitu hakipo ulaya mkuu?
WANAMATAI HUKO,hujawahi kusikia tawi la ccm uingereza,tawi la chadema marekani?Ccm na chadema hazipo Ulaya
mh,kwani hakuna hata zoo huko?Ndio, ⅞ ya mnyama twiga ni Africa
haya bana ,ila jua kuna njimbi hapa zitanukuu hivyo hivyo analia usije ukajikuta unatakiwa ucomfesNdio am 100% sure
Hiyo 1/8mh,kwani hakuna hata zoo huko?
huenda itakuwepo mkuu,mzungu hakuna asichojua dunia hiimimi nimejumuisha maana ya moja kwa moja...hiyo ng'ong,o sijajua kwa kiinglishi
duh,so wao wanaishia kukodolea kideo tu kutazama mbuga zetu huku?Hiyo 1/8
Mbona yamefungwa tangu 2009WANAMATAI HUKO,hujawahi kusikia tawi la ccm uingereza,tawi la chadema marekani?
Khee kwani la kuuliza hilo?kuna kitu hakipo ulaya mkuu?
Subhannalah.....kuna kitu hakipo ulaya mkuu?
ati nini?Subhannalah.....
kweli aiseeKhee kwani la kuuliza hilo?
KWANI KINACHOWAFANYA WAJE KUTALII HUKU NI NINI? Au mwenzetu vilele vya mawenzi na kibo kwenye mlima kilimanjaro umeshawahi kuviona ULAYA?
Na UGALI kwa kidhungu je?
Kimsingi, vitu ambavyo vinaonekana asili yake ni Afrika huwa ni shida sana kuwa na majina kwa kiingereza
By Ngali K
mkuu ya kweli hii?Mangifera indica
hahahahahahaha duh hiyo kweli aiseeKwakiingereza ni "Makinikia"