Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,023
- 54,309
Natumia simu taja hapo juu kwa muda mrefu sana lakini hivi karibu imeleta shida kwenye Internet,mwanzoni nilidownload opera mini niliyokuwa naitumia sana.Hivi karibuni imekuwa tabu kila ninapotaka kufungua net inaniletea ujumbe huu,www.opera mini.com/help?version=4.4 with your desktop browser/contact service provider for Internet setting.
Voda wamenitumia wap setting lakini tatizo halijakwisha mpaka sasa.
Tafadhali mwenye uelewa anisaidie maana kwa kutumia simu siwezi kbs kuingia JF nakuwa kama niko kaburini bila kujua kinachoendelea duniani.
Voda wamenitumia wap setting lakini tatizo halijakwisha mpaka sasa.
Tafadhali mwenye uelewa anisaidie maana kwa kutumia simu siwezi kbs kuingia JF nakuwa kama niko kaburini bila kujua kinachoendelea duniani.