G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau natumia laptop hp compaq presario q 40 nilikuwa natumia window(vista busnes) ikakorupt kwa sasa fundi kaniwekea WINDOW 7 HOME BASIC Inagoma kutumia baadh ya program kama vlc na pia kwenye housing kuna kibandiko cha Window vista basic je nifanyaje na fund anadai vista sio nzuri!