Msaada wa harufu ya kinyesi gheto

Msaada wa harufu ya kinyesi gheto

Nilishakutwa na tatizo hilo,.Maji yanaweza kuwepo, tatizo ni, yanakua hayajafikia level inayotakiwa.

Harufu itakua palepale.
HAPO TATIZO NI FUNDI ALUYEKIJENGEA CHOO HAKUTUMIA PIMAMAJI HIVO KIMELALA NA SEAL NI KIDOGO NA UKURUHUSU HEWA YA MFUMO WA MAJITAKA KURUDI NDANI. Chunguza na dawa kama ni cha kuchuchumaa nunua kingine na kuvunja hicho.
 
HAPO TATIZO NI FUNDI ALUYEKIJENGEA CHOO HAKUTUMIA PIMAMAJI HIVO KIMELALA NA SEAL NI KIDOGO NA UKURUHUSU HEWA YA MFUMO WA MAJITAKA KURUDI NDANI. Chunguza na dawa kama ni cha kuchuchumaa nunua kingine na kuvunja hicho.
Thanks, nilishahama hata ivo.
 
Hilo geto kabla lilikuwa choo baada ya kuona hela yako wamegeuza chumba
mkuu umenikumbusha mbali sana miaka ya 2000's mwanzoni shangazi yangu alipanga chumba huko mkoani Tanga lakini kumbe kile chumba kilikua choo, kikafanywa kuzibwa tu .....bwana bwana siku ya siku ngoma ikajibu mpaka ndani bahati nzuri aliwahi okolewa daah
 
Hilo geto kabla lilikuwa choo baada ya kuona hela yako wamegeuza chumba
mkuu umenikumbusha mbali sana miaka ya 2000's mwanzoni shangazi yangu alipanga chumba huko mkoani Tanga lakini kumbe kile chumba kilikua choo, kikafanywa kuzibwa tu .....bwana bwana siku ya siku ngoma ikajibu mpaka ndani bahati nzuri aliwahi okolewa daah
 
Inaezekana baba mwenye nyumba ndio michezo yake, ili uhame kabla kodi haijaisha atafute mtu mwingne!
 
Mpangaji aliyekuwepo kabla yaelekea alikuwa anawazibua sana mitaro mad---

Ova
 
Kama kuna dogo umezinguana nae hapo kitaa mtake radhi kuna majani fulani ni sheeda isikute anakuwekea daily
 
Yote kwa yote Je, mwenye nyumba unamwamini?? Kwa nini mpangaji mwingine alihama? Wenye nyumba wengi sio waaminifu na huwa wanatafuta kila kero ili uondoke kabla ya kodi yako kuisha. Komaa kifalme hadi kieleweke. Ongeza harufu kw weye kunya nje ya choo ili kumwonesha kuwa, Hujali harufu
 
Harufu ya nya kavu ni ipi? Wewe huwa unachambia maji au toilet paper? Maana unaweza kuta tunazunguka mbuyu hapa.
 
mkuu umenikumbusha mbali sana miaka ya 2000's mwanzoni shangazi yangu alipanga chumba huko mkoani Tanga lakini kumbe kile chumba kilikua choo, kikafanywa kuzibwa tu .....bwana bwana siku ya siku ngoma ikajibu mpaka ndani bahati nzuri aliwahi okolewa daah
Yesuu daah Hakuwashtaki hao mafalaa
 
Chezea madalali wewe umepangishwa choo cha zamani . Karibu mujini Kaka hapa tunahitaji AKILI TU tabia tunagawa bure.
 
Back
Top Bottom