platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,349
- 11,114
sibagui wala sichagui, chochote kitakachotokea
Lol, anza kupunguza kiwango cha unywaji....Kama unakunywa bia 10 kwa siku punguza nusu lita kwa siku,kama ni whisky punguza robo lita kwa siku halafu kwa maisha plus endelea kutumia for your own risk.