Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 169
Ndugu zangu hivi ukitaka kuchati online unafanya je? Nami natamani sana kuchati online, hivi vi pm vimenichosha. Mwenye maujanja ayamwage hapa tuenjoy pamoja. Wikiendi njema.
Nendeni facebook au global publisher halafu msitusumbue tena na maswali yenu. Hivi nyie mna miaka mingapi mmeweza kuingia jf halafu hamjui mitandao ya kuchati