Msaada wa haraka unahitajika

Status
Not open for further replies.
Wife kanikimbia kakomba kila kitu,ndani
Mpaka pesa niliyo kuwa naiweka ndani kaondoka nayo nayo,kaniachia mtoto.
Hivi nahitaji kupata kiasi hicho ili niweze mpeleka mtoto kwa bibi yake mbeya.
Pole, mwanamke wa wapi huyo mnyama hivyo. Duhh. naona umesema Mbeya
 
Ahsanteni kwa yote
Shukrani
Nimepata ufumbuzi
 
Usitume kiasi chako cha pesa
 
Pole Sana imekuaje hadi akakukimbia? Samahani Nahuyo wife wako nikabila gani? Mbona kakurudisha nyuma sana
 
Wewe si unasema umekufa ‘died’
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…