Ni kwa Mara ya kwanza naomba msaada humu jf,
Nina shida na 200000.
Maana Niko pabaya, kwa ambaye yupo tayari kunisaidia Tafadhali, anisaidie, nitamrudishia.
Msaada jamani watanzania wenzangu,
Hili tatizo linaniumiza kuisha kwake ni mpka nipate hiyo fedha,
Ubarikiwe
Namba;0746901701
Ahsanteni
wakuu nimepata watu wakunisaidia kwa hili suala,
Tafadhali usitume kiasi chako cha pesa,
Ahsanteni sana kwa ushauri
Mungu awabariki