Msaada wa haraka sanaa unahitajika (iphone users)

Msaada wa haraka sanaa unahitajika (iphone users)

666 chata

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
1,710
Reaction score
4,026
Wakuu naomba kujua jinsi ya kudownload music hizi za bongo fleva kwa kutumia i phone, nimejaribu sanaa nimeshindwa.

Na vile vile uwezo wa kuamisha nyimbo toka kwenye pc kuja kwenye iphone bila kutumia itunes. Je kama istore yangu inazingua nifanyeje?

Nb. Natumia i phone 6 s
 
Wakuu naomba kujua jinsi ya kudownload music hizi za bongo fleva kwa kutumia i phone, nimejaribu sanaa nimeshindwa.

Na vile vile uwezo wa kuamisha nyimbo toka kwenye pc kuja kwenye iphone bila kutumia itunes. Je kama istore yangu inazingua nifanyeje?

Nb. Natumia i phone 6 s
Mkuu what are u waiting for? Weka tubidy bwana.
Kama una itune kwenye pc tumia.
Hongera sana kwa kumilikinsimu za wachache.
Teh teh teh teh
 
Mkuu ungeweka hata screenshot ya nyimbo ambayo umeidownload ungetisha sana..mfano ngoma ya diamond ya hallelujah...

cf30113f7f216e0f5a96ea0480aea993.jpg

Mtu kusema eti iphone ni ngumu kutumia namshangaa sana
 
Zote hizo ni audio converted from video una choose unataka download video au audio mimi nimedownload audio lakini jina linabaki kama video coz zinakuwa converted from youtube videos to audio directly
 
ila mkuu kama hio ndo tubidy quality si inakuwaga sio ya kiwango cha juu?..mfano ni ngumu kupata mp3 yenye 320Kps
Quality yake poa tu mpaka sasa mimi nina nyimbo 34 zimetafuna mb 222 which means kila nyimbo imekula amost 6mb.
Zina quality nzuri tu.
 
Kama unataka kudowload kwa u tube afu ukasave kwenye photos libray ingia app store dowload app inaitwa document then kwenye u tube app ukisha search wimbo wako copy link afu kafungue document s app ambayo ushainstall then fungua browers yake afu kwenye browers andka save from net click go or next itakuletea sehem ya enter url sas apo ndo paste iyo link najua ww ni msomi na ivi vtu vnajieleza venyew
 
Wakuu nashukuru sanaa sanaa kwa kadri mlivyonisaidia, nimeweza kudownload nyimbo atimae, kwa hakika hakuna jambo linaloshindikana JF.
 
cf30113f7f216e0f5a96ea0480aea993.jpg

Mtu kusema eti iphone ni ngumu kutumia namshangaa sana

Mkuu nashkuru sanaa nimeweza kuinstall tubidy, ila shida imekuja kua vitu nnavyovidownload vinatumika tu humo humo kwenye tubidy sivikuti kwenye gallery au music ile player ya kawaida, nifanyeje kuzipeleka hizi miziki kwenye playlists za kawaida.
 
download document 6 appstore kisha tumia built in browser yake (chini kulia) utaweza kudownload na kuhamisha media zako.

Mkuu naomba msaada wako wa kuziamisha hivi vitu nlivyovi download toka kwenye document 6 kwenda kwenye media za kawaida za simu.
 
Mkuu nashkuru sanaa nimeweza kuinstall tubidy, ila shida imekuja kua vitu nnavyovidownload vinatumika tu humo humo kwenye tubidy sivikuti kwenye gallery au music ile player ya kawaida, nifanyeje kuzipeleka hizi miziki kwenye playlists za kawaida.
Kwa tubidy vinabaki huko huko jaribu document 6.
Iphone anajaribu kuzuia piracy ndiyo maana anafanya hivyo nashangaa kwanza kwanini tubidy na document 6 kaziacha app store
 
download document 6 appstore kisha tumia built in browser yake (chini kulia) utaweza kudownload na kuhamisha media zako.

Mkuu kwaio hataweza kuaccess kutoka itunes na kutumia kwenye media ya music
 
Back
Top Bottom