NEMEZIZ
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 563
- 337
alternative tumia itune, connect simu na itune, then cheki update kupitia itune, angalia zaidi hapa
Update the iOS on your iPhone, iPad, or iPod touch
Mkuu ngoja nianze
alternative tumia itune, connect simu na itune, then cheki update kupitia itune, angalia zaidi hapa
Update the iOS on your iPhone, iPad, or iPod touch
Utaalamu wa ku upgrade ios.sijakuelewa utaalamu wa nini?
Kuna app imeandikwa cydia?Nielezee kidogo mkuu bado cjakupata kabisa
Chief-Mkwawa nimeshindwa ku-update iso yangu ni 7.1.2 katika iphone4S nimeangalia tutorial nyingi awapi sasa mkuu unawezaje nipa msaada juu la hili.
Kuna app imeandikwa cydia?
Yenye logo hii
![]()
Je ulishawahi kuiupdate?
Kama iko jail m broken haiwezi pata OTA updates
Pole mkuu jaribu kutumia WiFi Ila IPhone 4s inaishia iOS 9 . Haitaweza kuvuka hapo , there is no way unaweza kupata iOS 10 mpaka 11 kwenye 4S.
Ndio madhara kutumia simu ambazo zimepotwa na wakati mi nilipenda nguvu ya simu na sio camera wala showoff
Sijakuelewa nimeuliza kama kwenye simu yako kuna hiyo app?Mkuu nimeipata iyo lakin sasa haifunguki kabisa yaani nimeona kwenye yt nyng lakin still hakuna kipya haifunguki kwenye file manager
Sijakuelewa nimeuliza kama kwenye simu yako kuna hiyo app?
Kama ipo jua simu yako iko jail broken iupdate kutumia itunes kwa maana huwezi iupdate via OTA
Kuaccess kiaje mkuu sijakuelewaNdioo maaaana siwezi kuiaccess itunes
Kuaccess kiaje mkuu sijakuelewa
Siyo itunes ya kwenye simu tunaongelea itunes software iliyo installed kwenye computer then unganisha simu yako na hiyo computer software ya itunes itafunguka isipofunguka click icone yake ifungue utaona simu yako imesoma then update kupitia huko na uhakikishe computer ineungwa internet na iwe na bundle la kutoshaNikiingia itune kuna itune U na podcast basi inaonesha blanks
Siyo itunes ya kwenye simu tunaongelea itunes software iliyo installed kwenye computer then unganisha simu yako na hiyo computer software ya itunes itafunguka isipofunguka click icone yake ifungue utaona simu yako imesoma then update kupitia huko na uhakikishe computer ineungwa internet na iwe na bundle la kutosha
UmefanikiwaNimefanya hivyo mkuu
Umefanikiwa
Fanya hv download psw file la sim yako. Save kwa pc. Chomeka sim bonyeza ctrl click update itakuletea uchagua lilipo file lako la psw li select utaabza update kumbuka uwe umefanya back up kabla ya kufanya hii processHapana Mkuu bado kabisha yaani hata tubidy imekataa sijui tatizo silijui
Fanya hv download psw file la sim yako. Save kwa pc. Chomeka sim bonyeza ctrl click update itakuletea uchagua lilipo file lako la psw li select utaabza update kumbuka uwe umefanya back up kabla ya kufanya hii process