Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 11,924 Reaction score 36,843 May 6, 2025 #21 Vincenzo Jr said: Tumia Piperazine au Ivermectin pamoja na Antibiotics Click to expand... dah piperazine+antibiotics=kifo hakuna multiple therapy ya hivyo Labda useme antibiotics+vitamins.
Vincenzo Jr said: Tumia Piperazine au Ivermectin pamoja na Antibiotics Click to expand... dah piperazine+antibiotics=kifo hakuna multiple therapy ya hivyo Labda useme antibiotics+vitamins.
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,212 Reaction score 96,326 May 6, 2025 Thread starter #22 mombasafinest said: Tafta amproliuma Click to expand... je coccimed Plus inafaa?
Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 11,924 Reaction score 36,843 May 6, 2025 #23 Retired said: NIMEANGAKLIA CHOO YAO INA DAMU NA RANGI YA NJANO, PLEASE NI DAWA GANI AU HIZO ZINAFAA KWA DALILI HIYO Click to expand... Hiyo ni folw typhoid tafuta antimicrobial drugs (Cipro )+vitamin
Retired said: NIMEANGAKLIA CHOO YAO INA DAMU NA RANGI YA NJANO, PLEASE NI DAWA GANI AU HIZO ZINAFAA KWA DALILI HIYO Click to expand... Hiyo ni folw typhoid tafuta antimicrobial drugs (Cipro )+vitamin
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,212 Reaction score 96,326 May 6, 2025 Thread starter #24 Ushimen said: Nimekuja mbio nikidhani kuna mtu anakata roho, kumbe Bata....π€¨ Ila pole sana mkuu, ngoja waje wakupe muongozo. Click to expand... sasa rafiki una bata kama 1,000 unaona wanaanza kufa si you raise alarm?
Ushimen said: Nimekuja mbio nikidhani kuna mtu anakata roho, kumbe Bata....π€¨ Ila pole sana mkuu, ngoja waje wakupe muongozo. Click to expand... sasa rafiki una bata kama 1,000 unaona wanaanza kufa si you raise alarm?
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,212 Reaction score 96,326 May 6, 2025 Thread starter #25 Red black said: Hiyo ni folw typhoid tafuta antimicrobial drugs (Cipro )+vitamin Click to expand... coccimed _Plus inafaa?
Red black said: Hiyo ni folw typhoid tafuta antimicrobial drugs (Cipro )+vitamin Click to expand... coccimed _Plus inafaa?
Prishaz JF-Expert Member Joined Nov 18, 2011 Posts 2,917 Reaction score 5,107 May 6, 2025 #26 Typhoid ina hiyo tabia wanalala na kufa Vet mzuri atakupa dawa
Nkulu wa nchito JF-Expert Member Joined Dec 13, 2019 Posts 1,788 Reaction score 2,170 May 6, 2025 #27 Craig said: Mkuu unashtua watu...Ina maana ufugaji wako wote huna hata namba ya madaktari mifugo!!?? Mbona kama unatania!! Una umri gani??!! Click to expand... πππ
Craig said: Mkuu unashtua watu...Ina maana ufugaji wako wote huna hata namba ya madaktari mifugo!!?? Mbona kama unatania!! Una umri gani??!! Click to expand... πππ
Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 11,924 Reaction score 36,843 May 6, 2025 #28 Retired said: coccimed _Plus inafaa? Click to expand... achana na hiyo ni kwaajili ya kutibu coccidiosis tafuta fluroquinolone (Cipro) ndio drug of choice
Retired said: coccimed _Plus inafaa? Click to expand... achana na hiyo ni kwaajili ya kutibu coccidiosis tafuta fluroquinolone (Cipro) ndio drug of choice
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,444 Reaction score 104,937 May 6, 2025 #29 Retired said: sasa rafiki una bata kama 1,000 unaona wanaanza kufa si you raise alarm? Click to expand... Naunga mkono hoja mkuu....
Retired said: sasa rafiki una bata kama 1,000 unaona wanaanza kufa si you raise alarm? Click to expand... Naunga mkono hoja mkuu....
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 11,327 Reaction score 24,352 May 7, 2025 #30 Pole sana sin uzoefu na Bata asee
Sera park JF-Expert Member Joined Feb 21, 2021 Posts 474 Reaction score 876 May 8, 2025 #31 Red black said: achana na hiyo ni kwaajili ya kutibu coccidiosis tafuta fluroquinolone (Cipro) ndio drug of choice Click to expand... Awape agrocox hiyo niliwapa kuku ndo kwanza waliendelea kuharisha hakuna aliyepona mpaka nilipobadilisha dawa
Red black said: achana na hiyo ni kwaajili ya kutibu coccidiosis tafuta fluroquinolone (Cipro) ndio drug of choice Click to expand... Awape agrocox hiyo niliwapa kuku ndo kwanza waliendelea kuharisha hakuna aliyepona mpaka nilipobadilisha dawa
MUBENDE JF-Expert Member Joined Nov 11, 2022 Posts 1,589 Reaction score 2,734 May 9, 2025 #32 Retired said: Bata wanakosa nguvu na kukaa wanashindwa kula na within a short time wanakufa. tatizo ni nini na amtibabu yake ni dawa gani? Click to expand... Pole sana Ndugu, naomba uwapatie DCP hapo wana upungufu wa Calcium, changanya kwenye maji wanyweshe kwa kijiko mmoja mmoja kwa siku 3, baada ya hapo uwe unawachanganyia kwenye chakula chao na maji ya kunywa watapona, Ubarikiwe.
Retired said: Bata wanakosa nguvu na kukaa wanashindwa kula na within a short time wanakufa. tatizo ni nini na amtibabu yake ni dawa gani? Click to expand... Pole sana Ndugu, naomba uwapatie DCP hapo wana upungufu wa Calcium, changanya kwenye maji wanyweshe kwa kijiko mmoja mmoja kwa siku 3, baada ya hapo uwe unawachanganyia kwenye chakula chao na maji ya kunywa watapona, Ubarikiwe.
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,265 May 9, 2025 #33 Retired said: Bata wanakosa nguvu na kukaa wanashindwa kula na within a short time wanakufa. tatizo ni nini na amtibabu yake ni dawa gani? Click to expand... Daktari umemuona?
Retired said: Bata wanakosa nguvu na kukaa wanashindwa kula na within a short time wanakufa. tatizo ni nini na amtibabu yake ni dawa gani? Click to expand... Daktari umemuona?
bandeko andeko JF-Expert Member Joined Oct 20, 2021 Posts 1,228 Reaction score 2,471 May 9, 2025 #34 nadhani ungeanza na dcp japo siku tatu halafu agrocox.