Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Habari, nina mtu wa karibu yangu anaomba mchanganuo wa kupata chuo. Amemaliza form 4,mwaka jana,but ana div ya 31. Yupo Dar.
Matokeo yake ni
Civi-D
Kiswa-D
Geog-F
Engl-D
Math-F
Bios-F
Litera-F
Histry-D
anasema anapenda masuala ya Jounalism & Broadcasting, masuala HR.
Lakini yote kwa yote anaomba mchanganuo,anaweza kwenda kuaply wapi, maana kuna CBM,CBE,DSJ,UTUMISHI,N.k.
Msaada plz.
Matokeo yake ni
Civi-D
Kiswa-D
Geog-F
Engl-D
Math-F
Bios-F
Litera-F
Histry-D
anasema anapenda masuala ya Jounalism & Broadcasting, masuala HR.
Lakini yote kwa yote anaomba mchanganuo,anaweza kwenda kuaply wapi, maana kuna CBM,CBE,DSJ,UTUMISHI,N.k.
Msaada plz.