msaada wa haraka ndoa inavunjika

msaada wa haraka ndoa inavunjika

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
660
Kinacho nitokea saizi mpaka najuta Mimi Nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi Saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke Wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na Mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili Wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea Niko naye mashine usimama Vila shida name game Kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa Kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu Sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja
 
Ndio matatizo ya kuoa huku unasoma. Shule zifunguliwe urudi darasani upesi. Shindwa na ulegee kwa upuuzi unaofanya.
 
nakemea pepo la uzinzi toka toka huna mamlaka na mwili wa mwanaume huyu .... nakuamuru toka mrudie yule binti nailii yake ife ganzi naaikimwona mkewe isimame mpaka asubuhi amen.....
 
OUT OF TOPIC
Hivi nabii yupo? Naomba namba yke manake mwaka ulivoanza kama SIUELWI ELEWI! Kuna msela wangu alikuwa hana kazi kaenda kumuona nabii mara moja, tena ilibidi aende saa 9 usiku kuwahi foleni, wiki ndefu! Kapata BONGE LA KAZI!!!!!!!! Afu hajarudi tena. Nikimuomba namba ya nabii ANANIZEVEZA!

Please ni PM hiyo namba maana walimwengu nmewastahimilia sanaa wanataka kunipanda kichwani.
 
muache huyo hawara kutoka nabii flora, kisha tubu ....
 
Moja ya hasara ya uzinzi ni hiyo!
Ukijaribu tu kupambanisha mbunye lazima moja ije juu na nyengine ibaki chini! Na kukiwa na hiyo hali hata mwili hukataa hiyo mbunye ambayo iko weak!
Na hiko ndiko kilikokukuta!
...
Achana na nyumba ndogo haraka iwezekanavyo, na ukibisha tu, mkeo atatafuta mwanaume alieshiba ili mradi nayeye afike sange!
Wewe unashindwa kumfikisha!
...
Mwanaume mji.nga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe!
 
OUT OF TOPIC
Hivi nabii yupo? Naomba namba yke manake mwaka ulivoanza kama SIUELWI ELEWI! Kuna msela wangu alikuwa hana kazi kaenda kumuona nabii mara moja, tena ilibidi aende saa 9 usiku kuwahi foleni, wiki ndefu! Kapata BONGE LA KAZI!!!!!!!! Afu hajarudi tena. Nikimuomba namba ya nabii ANANIZEVEZA!

Please ni PM hiyo namba maana walimwengu nmewastahimilia sanaa wanataka kunipanda kichwani.

mkuu ukiipata naomba unipe na mimi.
 
Kabinti kameshachukua dudu yako kanatembea nayo kwenye pochi.
 
naomba mwny picha ya nabii flora puleeez!!

watu8 mi nakuaminia mtani wen iti kamz tu hiz makitu za pichamo.
 
Last edited by a moderator:
kinacho nitokea saizi mpaka najuta mimi nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea niko naye mashine usimama vila shida name game kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja

kamwombe ushauri nabii flora
 
labda usaliti wako unasababisha ukiwa kwa mkeo uwe na hofu mpaka mashine inashindwa kuperform.
 
hayo ndo matatizo ya kutoka nje ya ndoa...hisia zako kwa mkeo zimeisha na upo nae kutimiza wajibu tuuu.hisia zote zipo kwa huyo kishanshuda wako...achana na nyumba ndogo haraka sana kabla mkeo hajajua..acha kumtesa mtoto aliyetoka kwenye kiuno cha mwanaume mwenzio..kisha rudisha mapenzi yote kwa mkeo na mkiwa mzigoni hisia zako zote ziwe ale na ujiamini hasa.matatizo mengine ni ya kisaikolojia..unataka kuyakuza yawe makubwaaaaaaaa.acha uasherati ludi kwa mkeo..
 
Hakuna cha msaada hapa. Acha ndoa ivunjike tu kwani ulipokuwa unafunga hiyo ndoa ulikuja kuomba msaada humu jf?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom