Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,448
- 4,980
Habari zenu! wanaJF
Leo kwa mara ya kwanza ndio na post kwenye hili jukwaa! uwa napita tu,sababu mambo yangu ya mahusiano yalikuwa shwari mpaka jana usiku nilivyoanza kuhisi nina matatizo makubwa!
Nina mchumba wangu ambaye tangu tuanze mahusiano tulipanga kuanza kufanya mapenzi mpaka tutakapo halalishwa yaani kufunga ndoa(kwa kifupi mimi nimelelewa mazingira ya kidini sana), na matarajio yetu yalikuwa tuoane dec 2014, mimi ni mtumishi wa umma nipo dar na yeye yupo sekta binafsi alikuwa nje ya dar! sasa nikamshauri arudi DAR,kwa ajili ya kujiendeleza kielimu ,alikubali na anaendelea na shule, sasa jana usiku kanipigia simu analia eti hawezi kusubiri muda wote huo anataka tuanze kufanya mapenzi sasa hivi na anadai weekend hii lazima alale kwangu! kwani amechoka kuumia kwa muda mrefu kaamua kuwa mkweli?
Hili jambo linaanza kunitia mashaka kama kweli hapa patakuwa na ndoa imara maana hana uvumilivu kabisa, au kunakuzinguana na kutokana na imani yangu pamoja na malezi niliyokulia siwezi kumkubalia kufanya huu upuzi kabla ya wakati!
Mpaka sasa nataka nimkalishe chini hiyo siku atakayo kuja na kama akishindwa kunielewa ni bora huo uchumba ufe kabisa japo uwa anajifanya kulilia na kudeka ukimuuzi kidogo
Naomba mawazo yenu wanaJF Lakini yawe yakujenga sio utani na kashfa!
Nawasilisha
Leo kwa mara ya kwanza ndio na post kwenye hili jukwaa! uwa napita tu,sababu mambo yangu ya mahusiano yalikuwa shwari mpaka jana usiku nilivyoanza kuhisi nina matatizo makubwa!
Nina mchumba wangu ambaye tangu tuanze mahusiano tulipanga kuanza kufanya mapenzi mpaka tutakapo halalishwa yaani kufunga ndoa(kwa kifupi mimi nimelelewa mazingira ya kidini sana), na matarajio yetu yalikuwa tuoane dec 2014, mimi ni mtumishi wa umma nipo dar na yeye yupo sekta binafsi alikuwa nje ya dar! sasa nikamshauri arudi DAR,kwa ajili ya kujiendeleza kielimu ,alikubali na anaendelea na shule, sasa jana usiku kanipigia simu analia eti hawezi kusubiri muda wote huo anataka tuanze kufanya mapenzi sasa hivi na anadai weekend hii lazima alale kwangu! kwani amechoka kuumia kwa muda mrefu kaamua kuwa mkweli?
Hili jambo linaanza kunitia mashaka kama kweli hapa patakuwa na ndoa imara maana hana uvumilivu kabisa, au kunakuzinguana na kutokana na imani yangu pamoja na malezi niliyokulia siwezi kumkubalia kufanya huu upuzi kabla ya wakati!
Mpaka sasa nataka nimkalishe chini hiyo siku atakayo kuja na kama akishindwa kunielewa ni bora huo uchumba ufe kabisa japo uwa anajifanya kulilia na kudeka ukimuuzi kidogo
Naomba mawazo yenu wanaJF Lakini yawe yakujenga sio utani na kashfa!
Nawasilisha